Showing posts with label Michezo. Show all posts
Showing posts with label Michezo. Show all posts

Wednesday, February 22, 2017

  WAZIRI WA HABARI NA SANAA
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mheshimiwa Nape Nnauye (Mb) kesho Februari 23, 2017 anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye uzinduzi wa Mfuko wa Maendeleo ya Mpira wa miguu kwa vijana na wanawake.


Uzinduzi huo utakaofanyika saa 5.00 asubuhi, utahudhuriwa na Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi na Mkurugenzi wa Michezo, Yussuph Singo. Utafanyika kwenye Ukumbi wa 
Hoteli ya Courtyard, Upanga jijini Dar es Salaam.


Monday, August 15, 2016

HABARI ZA HIVI PUNDE

KUTOKA YANGA

Saturday, August 13, 2016

HAYA NDO MANEMO YA Pluijm BAADA YA USHINDI WA LEO

SAKATA LA Hassan Kessy lanoga